OFA BAAAAAB KUBWA

Sunday, July 12, 2015

UREMBO NA USAFI: JINSI YA KUBORESHA UREMBO NA UMARIDADI WA KUCHA ZAKO

 ROYAL FASHION TANZANIA


TUNATOA HUDUMA ZA SALOON,TUNAFANYA MAKEUP ZA KISASA ZAIDI, PIA TUNAPAMBA MAHARUSI,TUNAPAMBA KUMBI MBALIMBALI KWA AJILI YA SHEREHE NA SHUGHULI NYINGINE MBALIMBALI.

PIA TUNAUZA MAKEUP FULL PACKAGE,WIVING,RASTA,MAVAZI NA ACCESSORIES MBALIMBALI .NJOO SASA TUKUHUDUMIE MTEJA WETU...WASILIANA NASI KWA NAMBA 0654700661






Start with a matte black base coat and add an accent of glitter . . so pretty! #nails #nailart  I will be adding a huge fashion and beauty section to my blog to share all of the amazing things I find and try. These  black nails are the first on my list. The fashion section will be up in a week stay tune!  http://michellelynn83.blogspot.com




Ili uwe na kucha maridadi masuala ya kuzisafi na kuziweka rangi ni muhimu ama sivyo? na kwa kawaida kucha zilizo safi ndizo hasa zinazokubali polishi yaani rangi au sivyo?
Na ama hakika kucha zilizo safi ndizo hasa zinazotengenezwa na kuwekwa sopusopu.

Ni vyema kutambua kwamba wakati wa kupaka rangi tumia mipako michache kwa kila mpako na kila mpako uachie ukauke kabla ya kuanza mpako mwingine.
Na ile ya mwisho inatakiwa kuwa bomba zaidi kwa kuwa ndio hasa itakayokuwa inatunza matabaka mengine yote.

Top 10 Nail Designs
Utengenezaji mzuri wa kucha si lazima uwe wa kwenda katika mapumziko au kuonyesha mtu ni kitu ambacho kinafaa kufanywa ili uwe mrembo kila mahali.
Kuna raha ya kujisikia katika rangi mpya katika mwaka mzima na hasa kama uchaguzi wako wa rangi za kupaka ni bomba.
Moja rangi ya pinki ama nyekundu inakupa nafasi ya kuwa funny . Unaweza kujipaka rangi mwenyewe au kuwambia mtu akupake rangi.Kuna hatua kadhaa ambazo unatakiwa kuzifanya kabla ya kupaka rangi kucha zako.

Christmas nails

Hatua ya kwanza ni kuondoa rangi zote za awali.kwa kufanya hivyo rangi mpya itakuwa ina uwezo wa kushika katika kucha.
Pia kunasaidia rangi yako mpya isitibuliwe na rangi ya zamani kwa namna yoyote ile.
Unaweza kuondoa rangi ya zamani kwa kutumia dawa inayopatikana katika maduka ya dawa na hata yale ya vipodozi na pamba hufanya vyema kartika kuondoa rangi za kucha kwa kutumia Nail polish remover.


kazi ya pili ni kutafuta rangi inayokupendeza. unaweza kutumia rangi yoyote kwa sababu mara nyingi viatu vinazuia kuonekana kwa kucha zako la kama unahitaji rangi fulani kwa sababu miguu yako i wazi ni vyema sana.


Mac Gadabout Girl nail lacquer
Tazama kwamba vipaka rangi vyenyewe ni vipya kwani vilivyozeeka huleta tatizo kidogo.mara nyingi vipaka rangi vilivyokaa miaka miwili havifai tena kutumika.

Anza kupaka baada ya kubainisha kwamba unaweza kutenganisha kidole kwa kidole ili usipake kila mahali hasa kama brashi husika ni pana kidogo.
Anza katikati kwa kuanzia nyuma kupeleka mbele kisha nenda pembeni na pembeni.Na baada ya kukauka unaweza kuongeza tabaka jingine tena na tena.


Cute Summer Nails
Kisha paka ile ya mwisho ambayo ndiyo italinda rangi yenyewe yaani top coat . top coat husaidia sana kuweka rangi kwa muda mrefu. Top coat ni polishi isiyokuwa na rangi na kama unataka kuweka stika iweke mapema kabla ya kuweka top coat.
rangi nzuri na zilizotulia zinakufanya uwe na sababu ya kujivalia sandals zako nzuri au viatu vya wazi




 ROYAL FASHION TANZANIA


TUNATOA HUDUMA ZA SALOON,TUNAFANYA MAKEUP ZA KISASA ZAIDI, PIA TUNAPAMBA MAHARUSI,TUNAPAMBA KUMBI MBALIMBALI KWA AJILI YA SHEREHE NA SHUGHULI NYINGINE MBALIMBALI.

PIA TUNAUZA MAKEUP FULL PACKAGE,WIVING,RASTA,MAVAZI NA ACCESSORIES MBALIMBALI .NJOO SASA TUKUHUDUMIE MTEJA WETU...WASILIANA NASI KWA NAMBA 0654700661

                                             

No comments:

Post a Comment

HARUSI | WEDDING OUTFITS

TUNASHONA NA KUDARIZI

Royal Fashion Tanzania

ZILIZOBAMBA ZAIDI

Lady in Red | Gauni nzuri,What a beautiful dress

 Karibu upendeze, Wasiliana nasi 0654700661 (Whatsapp)

ASANTE SANA KWA KUTUTEMBELEA. KARIBU TENA!