Jana kupitia U HEARD ya XXL sauti ya Nuh Mziwanda ilisikika akimtongoza Wema Sepetu, Leo Nuh Mziwanda amekanusha habari hizo na kusema kuwa sauti hiyo haikuwa yake na kumpa tuhuma Wema sepetu kuwa sauti hiyo imetengenezwa.
Leo katika U HEARD Nuh Mziwanda kafunguka kila kitu na amezungumzia namna gani jambo hili lilivyomuharibia kwa mpenzi wake Shilole, Hii hapa chini sauti ya Nuh mziwanda.
Click this button to listen/tp download|bofya kitufe hiki kusikiliza/kupakua
ENDELEA KUTUTEMBELEA HAPA KUPATA HABARI ZA MASTAA NA SKENDO KIBAO NDANI NA NJE YA BONGO KATIKA SEGMENT YETU YA GOSSIPS AND SCANDALS
TU-FOLLOW INSTAGRAM ..BONYEZA HAPA
WHATSAP +255 654 700 661
No comments:
Post a Comment