OFA BAAAAAB KUBWA

Wednesday, September 5, 2018

UNA TATIZO LA CHUNUSI? TUMIA CHUMVI KUONGEZA UREMBO0 WA NGOZI YAKO

Chumvi ni kiungo muhimu kwa kila mlo pia inaumuhimu mkubwa katika urembo. je una fahamu kwamba chmvi unaweza kuitumia kama scurb na kukuacha ukiwa na ngozi ya kuvutia na nyororo?


Matatizo ya chunusi , ukavu katika ngozi, mafuta usoni na hata ngozi iliyokufa usoni ni miongoni mwa mambo yanayowakera warembo wengi  na hatimaye kuwafanya watumie vipodozi ambavyo si salama kwa ngozi zao.
kwa kulitambua hilo wataalamu wa urembo wa asili wamegundua kuwa chumvi ni scrub yenye gharama nafuu




 

 CHUMVI

Ambayo kila mtu anaweza kutumia tofauti na urembo mwingine wa ngozi. matumizi ya chumvi yamekuwa na matokeo mazuri katika matatizo mbalimbali ya ngozi japo kuwa si wengi wanalolifahamu hili unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha chumvi haiingii machoni pindi unapotumia


MAHITAJI

        Chumvi ya unga kijiko kimoja cha chakula
                                                             
jinsi ya kufanya
Nawa uso wako kwa maji safi ya kawaida kisha chukua kitambaa laini na safi chovya kwenye chumvi kisha sugua kwenye uso taratibu pia unaweza kutumia hata mwilini.
Baada ya kujipaka katika uso weka pembeni kitambaa kisha anza kujisungua kwa kutumia viganja vya mikono yako fanya hivyo hadi utakapoona taka zinatoka kisha kaa kama dakika 2/5 ukisha maliza osha kwa maji ya baridi 
Ni muhimu kufanya zoezi hili kwa wiki mara mbili kwani linasaidia kuondoa mikunjo na husafisha ngozi kabisa

No comments:

Post a Comment

HARUSI | WEDDING OUTFITS

TUNASHONA NA KUDARIZI

Royal Fashion Tanzania

ZILIZOBAMBA ZAIDI

Lady in Red | Gauni nzuri,What a beautiful dress

 Karibu upendeze, Wasiliana nasi 0654700661 (Whatsapp)

ASANTE SANA KWA KUTUTEMBELEA. KARIBU TENA!